Ukweli huu unamhusu Raisi wa Kenya Mhe.Uhuru Kenyata. Kweli uraisi upo kwenye damu kwakuwa waswahili wanasema "Ukiona vyaelea,vimeundwa"
Mzee Jomo Kenyatta akiwa na mtoto wake ambae ni Uhuru Kenyatta enzi hizo za utoto, unaweza kushea hii picha na wenzako waone... (picha kutoka Nation Media)
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
51 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako