Tuesday 24 June 2014

UMEME LEO KIZAAZAA


Sehemu kubwa ya nchi leo imekuwa na katizo la umeme kufuatia hitilafu katika Gridi kuu ya Taifa. Tanesco na Serikali angalie jambo hili maana maendeleo ya nchi yanazidi kudorora kwa kukosa vinavyochangia kuleta maendeleo kama matumizi ya umeme.
Wakuu nao wapatwa na adha hii hadi kuamua kutumua tochi  ya simu,loh. 

No comments:

Post a Comment

Maoni yako