Ila kwa mwenzetu huyu pamoja na kwamba yupo njiani katika kuwajibika, bado kalala tena isivyo salama kabisa. Hapo inawezekana kabisa akaamkia hospitali. Pamoja na uwajibikaji wetu wa kusaka maisha, pia ni vizuri kuwa makini maana uhai wetu hauna spea.
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
53 minutes ago

Duh! kazi ipo yaani kajianfaa kweli mpaka na godoro:-)
ReplyDelete