Huu ndo muonekano wa kituo cha Daladala Mwenge-Dar es Salaam leo baada ya kufungwa rasmi na kituo kipya nyuma ya Jengo la TCRA kuanza kutumika. Hata hivyo kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu kituo hicho kipya. Tunaomba viongozi husika watupie macho.
Mwenge Daladala zinapita na kuwaacha abiria walodhani zitasimama. Macho kodoooooo...Tusiwaze kupindisha sheria.
CDF MKUNDA AELEZA UMUHIMU WA JKT KATIKA ULINZI WA TAIFA
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako