Siku ya hivi karibuni kumekuwa kukitokea ajali nyingi zinazochukua maisha ya watu na kuwaacha wengine majeruhi au vilema wa muda mrefu. Pengine yinatokea bahati mbaya ila nyingi yinasababishwa na uyembe na kutotii sheria ya usafirishaji na barabarani. Picha hii ni mfano mmojawapo
WALIMU SHINYANGA WAGUSWA NA KLINIKI YA SAMIA
2 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako