IKULU: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ambapo uteuzi wa kujaza nafasi yake utafanyika baadaye.
TUME YATOA NENO KWA WAENDESHA VIFAA VYA BVR TANGA, PWANI
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako