Jamii za Tanzania inabidi ifike mahali iachane na mambo ya kuiga,hasa tabia yisiyoendana na maadili ya Mtazania. Pengine wanaiga bila kujua, ila wengi wanajua wanachofanya na wakati mwingine wanafanya makusudi kwa kisingizio cha ukuaji wa Sayansi, teknolojia na Demokrasia
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania, BASATA, Godfrey Mngereza amelaani picha za nusu za utupu za msanii wa muziki, Ben Pol ambazo imezua tafrani kubwa kwenye mitandao ya kijamii
CDF MKUNDA AELEZA UMUHIMU WA JKT KATIKA ULINZI WA TAIFA
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako