Wednesday 27 July 2016

TAZAMA HII KALI KUTOKA ZANZIBAR

Kwenye mnada wa samaki huko Pemba Bwana mmoja alifika 70,000/ kwa tenga. Akatokea mwakilishi (ccm) akatamka kutoa 140,000/- Cha ajabu yule mchuuzi akampa aliyefikia elfu 70,000/
Mwakilishi alipouliza jamaa akamwambia kwani nyie tukishinda mwatupa?
Chezea Zanzibar wewe!

No comments:

Post a Comment

Maoni yako