Ni makosa kwa mzazi yeyote kutopeleka mtoto shule wakati serikali inatoa elimu bure kwa wote.
Yaani hata ng'ombe wanashangaa kwa nini huyu dogo hajapelekwa shule....
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako