Kutokana na hali ngumu ya maisha ya jamii nyingi nchini, watoto wengi wamejikuta wakilazimika kufanya kazi ambazo hawastahili katika umri huo. Ni jukumu la viongozi,wazazi na jamii kwa ujumla kuangalia hatua za kuchukua kutatua tatizo hili.
TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI
12 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako