Habari zinazoendelea mpaka muda huu ni kuwa limetokea shambulio katika eneo la Olympia Shopping Centre huko Munich kusini mwa Ujerumani. Inasadikiwa watu wengi wameuawa na wengi kuumia. Tayari Polisi, zimamoto, Msalaba Mwekundu na wahusika wengine wapo eneo la tukio kuokoa. Treni zote za chini ya Ardhi (U-Bahn) zimeshimama kufanya kazi.
tutawaletea taarifa zaidi kadiri tutakavyopokea
TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI
12 hours ago




No comments:
Post a Comment
Maoni yako