Huu ni msemo nzuri ambayo waonyesha naona ya kuelekeza jema la kufanya kwa kutenda na sio kusema tu "wewe fanya hivi" lakini mwenyewe hutendi. Ni hamasisho kwa wazazi kuwafundisha watoto wao yale yaliyo mema kwa matendo.
TANZANIA YAHODHI KONGAMANO LA CAH-SSA 2026
1 hour ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako