Friday 25 April 2014

UBUNIFU TANZANIA

Viatu na pochi (wanawake)

Ubunifu huu mkubwa unafanywa na KIM FASHION DESIGN ambao wanapatikana NAFASI ARTSPACE karibu na ITV Mikocheni. Kama wahitaji kupata viatu au mikoba hii wasiliana nao hapa +255 714 76 83 98
viatu mwanana vya kiume

2 comments:

  1. Hii ni safi sana, nimependa, Tanzania tuna kila la kujivunia kwa tulivyo navyo

    ReplyDelete
  2. Ni kweli kabisa. Ni motisha na fursa kufunguliwa zaidi

    ReplyDelete

Maoni yako