Huu ndio mwonekano mpya wa daraja la kigamboni kwa sasa
Hivi karibuni waziri wa ujenzi Mheshimiwa John Magufuli alifanya ukaguzi wa maendeleo ya daraja la kigamboni. Na hivi ndio linavyoonekana kwa sasa likiwa limeshaunganisha nchi kavu mbili
WALIMU SHINYANGA WAGUSWA NA KLINIKI YA SAMIA
1 hour ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako