Friday 9 October 2015

RAIS KIKWETE ATUNUKIWA UKAZI WA KUDUMU WA HESHIMA MAPUTO MSUMBIJI

Mhe rais Kikwete akikabidhiwa funguo na Meya wa Jiji la Maputo Mstahiki David Simango kama iishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji la Maputo.
Akivishwa vazi maalumu la heshima la Jiji la Maputo
akigonganisha glass na mhe Fillipe Nyusi,Rais wa Msumbiji katika tafrija ya kumuaga

No comments:

Post a Comment

Maoni yako