Thursday 1 October 2015

MAGUFULI AIKABILI DODOMA VILIVYO

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akiwahutubia wananchi waliojitokeza kwa wingi katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma

No comments:

Post a Comment

Maoni yako