Saturday 24 October 2015

CCM YAFUNGA KAMPENI JANGWANI

Ikiwa imesalia siku moja kabla ya uchaguzi,jana CCM ilifanya mkutano mkubwa wa kapeni Jangwani Dar na leo hivi Dk magufuli atakuwa Kirumba Mwanza
Mke wa Rais mama Salma Kikwete akiteta jambo na mke wa Mgombea urais CCM Mama Janeth magufuli katika Viwanja vya Jangwani Jijini dar

No comments:

Post a Comment

Maoni yako