Thursday 1 October 2015

RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA WA MATAIFA HUKO USA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya mwisho kama Rais wa Tanzania katika kikao cha 70 cha Baraza kuu la Umoja wa mataifa katika ukumbi wa Makao makuu ya Umoja huo jijini New York Marekani

No comments:

Post a Comment

Maoni yako