Monday 28 November 2016

UGENI WA MARAISI WAWILI NCHINI TANZANIA WIKI HII

Rais Magufuli leo amepokea Marais wa Mataifa mawili ya Tchad na Zambia kwa mialiko ya ziara za kikazi.Rais wa Chad Idriss Deby atakuwepo nchini kwa siku mbili katika ziara ya Kikazi; wakati rais wa Zambia mhe. Edgar Lungu atakuwepo kwa siku 3

No comments:

Post a Comment

Maoni yako