Rais Magufuli leo amepokea Marais wa Mataifa mawili ya Tchad na Zambia kwa mialiko ya ziara za kikazi.Rais wa Chad Idriss Deby atakuwepo nchini kwa siku mbili katika ziara ya Kikazi; wakati rais wa Zambia mhe. Edgar Lungu atakuwepo kwa siku 3
JKT YAACHANA NA KUNI SASA NI MATUMIZI YA GESI
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako