Thursday 17 November 2016

MALEZI KWA VITENDO YANA MATOKEO MAZURI ZAIDI

Sijui ni kwa kiasi gani umeweza kuwapa picha na mtazamo bora wa maisha hao watoto wako. Usisahau kwamba wao wanajifunza kwa asilimia 70 kutoka yale wanayokuona ukiyafanya na asilimia 30 tu kwenye yale unayoongea. Ukiongea na kufoka sana pasipo kuwaonyesha matendo watatoka kapa:
Tuwaonyeshe watoto mifano bora.
Mhe Rais mstaafu wa Marekani, Barack Obama na watoto wake Malia na Sasha

No comments:

Post a Comment

Maoni yako