Friday 4 November 2016

MHE RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO RASMI NA WAANDISHI WA HABARI

Rais Magufuli: Niwashukuru sana kwa michango yenu mikubwa katika maeneo yenu ya kazi.
Swali(Tido Mhando): Ulichukua muda kuunda baraza la mawaziri, Je Katika tathmini hiyo wanafanya kazi kulingana na ulichotegemea wakifanye
Jibu(Magufuli): Serikali niliyounda imenisaidia sana na wanafanya kazi zao vizuri, niliona niwe na baraza la watu wachache katika kuwatumikia wananchi, changamoto zipo lakini nina imani kubwa.
UKITAKA KUANGALIA VIDEO NZIMA HII HAPA

No comments:

Post a Comment

Maoni yako