Wakati tukijionea matukio mbalimbali ya utovu wa nidhamu,umaskini na uvunjifu wa amani katika jamii,ni dhahiri msemo huu wajidhihirisha. Mtoto akilelewa vizuri,hukua vizuri katika nyanja zote za maisha. Lakini asipolelewa vizuri ni chanzo cha vurugu katika jamii
WATATU MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI MOROGORO
2 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako