Yaani hawa wezi wamepokea kipigo kwa kweli mpaka sura zimefanana. Hii sasa kali.
Angalisho: Pamoja na kwamba weyi au ujangili ni uhalifu lakini raia tujitahidi tusichukue sheria mkononi mfano kuwapiga na hata wakati mwingine kupelekea kifo. Vipo vyombo vya Dola tuviachie kazi hiyo.
SJMT NA SMZ ZAWEKA MIKAKATI KUIMARISHA MUUNGANO
43 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako