Ikiwa imesalia siku moja kabla ya uchaguzi,jana CCM ilifanya mkutano mkubwa wa kapeni Jangwani Dar na leo hivi Dk magufuli atakuwa Kirumba Mwanza
Mke wa Rais mama Salma Kikwete akiteta jambo na mke wa Mgombea urais CCM Mama Janeth magufuli katika Viwanja vya Jangwani Jijini dar
Watu 600 kushiriki semina ya AAT Moro
6 hours ago




No comments:
Post a Comment
Maoni yako