Bunge la Juamhuri ya Muungano wa Tanzania litaanza kikao chao cha Bajeti tar 12 Mei 2015 ila wabunge wote wanatarajiwa kufika Dodoma hapo tar 10 Mei/ Kikao hiki ni cha mwisho kabla ya Bunge kuvunjwa kupisha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015
WAZIRI MHAGAMA AZINDUA MRADI WA BIL.3.1 SONGEA
3 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako