Leo tena madreva wa vyombo mbalimbali vya abiria wamegoma kusafirisha abiria wakitaka matakwa yao yatekelezwe.
Abiria wengi wakiwemo wanafunzi hasa katika Jiji la Dar es Salaam wamelazimika kutembea kwa miguu umbali mrefu kufika maeneo lengwa
Je Simba Msimu Huu Ataondoka Kapa Tena?
20 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako