Watoto wana namna nyingi za kufanya matani ila matani mengine yahitaji ujasiri mkubwa kuyakubali . Hapa huyu mtoto akiamua kufanya majaribio ya matumizi ya hilo panga, anafungua bucha. Tuwafundishe watoto wetu matani mazuri na yafaayo katika kujijenga binafsi na jamii. Ila pia tuwakumbushe matani mengine ambayo yanaweza kuleta madhara.
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
41 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako