Mhe.Rais Jakaya Kikwete akiangalia mchoro wa ramani ya Tanzania unayoonyesha Reli ya Kati inayotarajiwa kufanyiwa ukarabati mpya na wa kisasa na Kampuni ya China, alipokuwa ziarani China wiki hii. Ukarabati huo utahusisha Reli ya kati ya Dar es Salaam-Kigoma, Tabora-Mwanza, Kaliua-Mpanda-Ziwa Tanganyika
Mhe.Rais Kikwete akisalimiana na mwenyeji wake Rais wa China mhe. Xi Jinping
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
44 minutes ago
.jpg)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako