Thursday 16 October 2014

MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI KWA SASA

Meli ya Oasis Seas ndio inayoongoza kwa ukubwa. Ina uwezo wa kuchukua abiria 6,300 na wahudumu 2394 kutoka zaidi ya nchi 71. Ndani ina kila aina ya maraha. Imetia nanga katika Bandari ya Southampton huko Uingereza.
Ramani ya meli hiyo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako