Thursday 9 October 2014

KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAKABIDHIWA KWA RAIS

Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete akipokea nakala ya katiba iliyopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samwel Sita.
Waheshimiwa Rais wa Muungano na Rais wa Zanzibar wakinyanyua juu nakala ya Katiba Mpya iliyopendekezwa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako