Friday 6 November 2015

RAIS MSTAAFU DK.KIKWETE AONDOKA RASMI IKULU KUELEKEA MSOGA KUANZA MAISHA MENGINE

Rais Mstaafu Dk.Kikwete na Mkwewe wakiangana na wafanyakazi ofisi ya Rais Ikulu alipokuwa akiondoka rasmi katika Ikulu hiyo iliyopo Magogoni.
Akitoka kaatika Geti la Ikulu
Safari ya kuelekea Msoga nje kidogo ya Mji wa Chalinze kuanza maisha mengine baada ya kutumikia Taifa kama Rais kwa miaka 10

No comments:

Post a Comment

Maoni yako