Sunday 22 November 2015

AGIZO LA RAIS MAGUFULI KUHUSU MSAADA MUHIMBILI LAANZA KUTEKELEZWA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongea na wabunge na wageni waalikwa kwenye mchapalo muda mfupi baada ya kuhutubia na kuzindua rasmi Bunge la 11 mjini Dodoma Jumamosi Novemba 20, 2015. Ni hapo alipoamuru kwamba zaidi ya shilingi milioni 200 zilizochangwa na wafadhili kwa ajili ya mchapalo huo zitumike kwa kununulia vitanda vya wagonja katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako