Thursday 12 November 2015

MBIO ZA USPIKA WA BUNGE ZAANZA

Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akizungumza na Katibu
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni, Ndugu Mohamed Seif Khatib mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
WAKATI HUO HUO.................
Chanzo cha uhakika ndani ya CCM kimeieleza kuwa, walioonyesha nia ya kuwania nafasi hiyo ni aliyekuwa Spika wa Bunge la 10 Ni Anne Makinda, aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge hilo, Job Ndugai, aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta, aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la 10, Mussa Azzan Zungu na Mjumbe wa Kamati kuu Dk. Emmanuel Nchimbi.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako