Friday 6 November 2015

HAPA KAZI TU YAANZA RASMI: RAIS MAGUFULI AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ndg George Masaju ameapishwa rasmi asubuhi ya leo na Rais John P. Magufuli.
Uteuzi wa Mwanasheria huyo wa Serikali ulifanyika jana Novemba 5, 2015 mara tu baada ya rais Magufuli kuapishwa baada ya muda wa Serikali ya awamu ya nne kufikia kikomo.
(cHINI)Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Jaji Mkuu Othuman Chande,Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan na spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anne Makinda

wAKATI HUO HUO..............................
mhe rais Magufuli amefanya ziara isiyo rasmi katika Wizara ya Fedha

Akisaini kitabu cha wageni baada ya kufika Wizarani hapo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako