Sunday 15 November 2015

DUNIA YALAANI TUKIO LA UGAIDI PARIS: RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA POLE

Rais John Magufuli amemtumia salamu za pole Rais wa Ufaransa François Hollande, kutokana na mashambulizi ya kigaidi yaliyogharimu vifo vya watu 127. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Rais Magufuli alisema Serikali yake inaungana na wapenda amani wote duniani kulaani tukio hilo lililogharimu maisha ya watu wengi.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako