Thursday 19 November 2015

MHE. DK.TULIA ACKSON MWANSASU ACHAGULIWA KUWA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA 11 LA TANZANIA


Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamemchagua Mhe.Dkt. Tulia Akson kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Naibu Spika wa Bunge la 11 baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka Chama cha Wananchi (CUF) Mhe. Magdalena Sakaya.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya Mhe. Dkt. Akson kushinda kwa kura 250 ambazo ni sawa na asilimia 71.2 za kula halali dhidi ya mpinzani wake Mhe. Sakaya aliyepata kura 101 ambazo ni sawa na asilimia 28.8 ya kura halali.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako