Tuesday 17 November 2015

MHE.JOB NDUGAI: SPIKA MPYA WA BUNGE LA 11 LA TANZANIA

MATOKEO:- 1. Job Ndugai CCM - kura 254 au 70% 2. Ole Medeyi Chadema kura 109 wengine wote wameishia kupata 0 au 0%, kwa hiyo Mh. Job Ndugai ndiye Spika mpya wa Bunge la Awamu ya Tano

No comments:

Post a Comment

Maoni yako