Monday 30 November 2015

Mhe.RAIS MAGUFULI NA MHE.WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA WAMTEMBELEA MAKAMU WA RAIS MHE.SAIA SULUHU OFISSINI KWAKE


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, (kushoto) akizungumza na Makamu wake, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, wakati Rais na Waziri Mkuu walipomtembelea Makamu Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Nov 30, 2015 kwa mazungumzo.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako