Friday 30 May 2014

WABUNGE WETU WATOKA NJE TENA

Ukumbi wetu wa Bunge umekuwa sehemu ya kususiwa kila mara. Leo tena katika vikao vya Bunge la Bajeti baadi ya wabunje wa Kambi ya Upinzani wasusia mjadala wa Uwasilisjwaji wa Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini na kutoka nje.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako