Friday 16 May 2014

Sasa nimeamini ule msemo: "MAMBO YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE"

Wakati mwingine akipiga usingizi tena kazini na silaha imekaa kihatari, wengine wanaendelea kujituma vilivyo. Mungu abariki juhudi za kila anayejitahidi na wewe unayelala usingizi katika eneo la kazi tambua familia na jamii inakuhitaji. Wajibika!

No comments:

Post a Comment

Maoni yako