Saturday 31 May 2014

TUJIKUMBUSHE MAKABILA YA WATANZANIA

Tanzania ina zaidi ya Makabila 120 katika mikoa yake. Ila Tumshkuru Mwl.Nyerere kwa kutuunganisha Watanzania kwa kutumia na kueneza lugha ya kiswahili. Sasa twaishi kwa amani na maelewano

No comments:

Post a Comment

Maoni yako