Sunday 25 May 2014

REAL MADRID MABINGWA UEFA 2014

Timu ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua Kombe la UEFA 2014 usiku huu baada ya kuwacha Atletico Madrid kwa Mabao 4 - 1 huko Lisbon,Portugal.Bado la mwisho ambalo lilifungwa katika kipindi cha dakika 3o za nyongeza kwa njia ya Penati na Cristian Ronaldo, ndilo lililofunga kikapu cha magoli hayo. Hongereni Real Madrid.
Kufurahia ushindi

No comments:

Post a Comment

Maoni yako