Tuesday 20 May 2014

PUMZIKA KWA AMANI ADAM KUAMBIANA

Mtayarishaji na Mwongozaji mahiri wa filamu hapa Bongo,Adam Kuambiana anaagwa leo katika Viwanja vya Leaders jijini Dar na baadae kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni. Mungu ailaze pema roho yake.Amen

No comments:

Post a Comment

Maoni yako