Saturday 10 May 2014

LEO NI SIKU YA NDEGE WAHAMAO DUNIANI



MAADHIMISHO YA SIKU YA NDEGE WAHAMAO DUNIANI
TAREHE 10 – 11 MEI 2014
Maadhimisho ya Siku ya Ndege Wahamao Duniani ni siku ambayo huadhimishwa kimataifa kila mwaka tarehe 10 na 11 Mei.
Wizara ya Maliasili na Utalii inawashauri wananchi wanaoishi karibu na maeneo ya Ardhi oevu ambayo ni makazi na mapito ya ndege wahamao kushirikiana na Serikali katika kuwalinda ndege hao na kuhifadhi mapito na makazi yao.Wananchi pia wanakumbushwa kuwa maeneo ya ardhioevu ndio vyanzo vya maji ambayo yanafaa kwa matumizi ya kila siku ya binadamu, wanyama na ndege, hivyo maeneo hayo ni vyema yalindwe kwa manufaa ya jamii na taifa kwa ujumla.
Tuendeleee kuona taswira za ndege mbalimbali duniani

No comments:

Post a Comment

Maoni yako