Saturday 31 May 2014

NYOTA NJAMA HUONEKANA ASUBUHI

Watoto hawa japo wanaanza katika mazingira magumu lakini wakikuza vipaji vyao watakuwa wasanii wazuri sana baadae. Tuwape moyo na panapowezekana tuwasaidie kufanikisha ndoto yao.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako