Wednesday 21 May 2014

MV BUKOBA-TUTAWAKUMBUKA DAIMA

Tanzania tutakumbuka daima ajali mbaya ya Meli ya MV.Bukoba iliyotokea 21.05.1996 kilomita chache kutoka Bandari ya Mwanza. Meli hiyo ilikuwa inatoka Bukoba kuelekea Mwanza. Watu wengi walipoteza maisha yao akiwemo Mjomba angu Mpendwa. Mjomba na wote waliofariki mpumzike kwa amani. Amina

No comments:

Post a Comment

Maoni yako