Sunday 23 August 2009

MISS UNIVERSE 2009

Mrembo wa dunia kwa mwaka 2009 anatoka Venezuela kwa mara nyingine. Huyu ni Stefania Fernandez.Mwaka jana 2008 Mrembo wa Dunia alikuwa Dayana Mendoza nae pia kutoka Venezuela.Mrembo wetu Illuminata kwa bahati mbaya hata kwenye 15 bora hakuwepo lakini,labda bado wakati wa kuwapta warembo kutoka Tanzania japo ni warembo sana.
Miss Universe 2009 Stefania Fernandez

Miss Universe 2008 Dayana Mendoza

No comments:

Post a Comment

Maoni yako