Saturday 22 August 2009

MFUNGO MTUKUFU - RAMADHAN KAREEM


Nawatakia wadau wahusika wote Mfungo mwema wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Allah awawezeshe kuchuma matunda yatokanayo na mfungo huu.Kila mmoja anuie katika kutenda mema na matendo ya huruma zaidi.Ramadhan Mubaaraq

Sikutamanishi ila nakukumbusha tu mambo yahitajikayo kwa futari ndani ya mfungo huu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako