Wednesday 19 August 2009

BAADA YA "FAKE PASTOR", SASA NI "VILLAGE PASTOR"

Filamu hii murua itakuwa mitaani kuanzia mwisho wa mwezi huu. Mtunzi na mwigizaji mkuu ni Kanumba na inasemekana inatoa taswira ya tukio la kweli lililotukia. Karibu ununue filamu za Kitanzania kuijenga nchi yako na kuinua vipaji vya washiriki.


Picha kwa Hisani ya Michuzi

1 comment:

Maoni yako