Sunday 17 May 2009

WAREMBO / MAMISS WETU

Tunapowapongeza warembo wetu kwa namna wanavyojitahidi katika suala la urembo, sio vibaya pia tukijikumbusha uhalisia wa sura zetu za kiafrika. Wanablog hebu tazameni wenyewe tofauti kubwa ionekanayo kati ya mwonekano wa uso na mikono



Hawa pia ni Mamiss wetu lakini katika sura zao halisia, nadhani wanapendeza pia, tena zaidi hahahahhaaa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako